Wednesday 7 May 2014

Wasanii waliotajwa kwenye tuzo za Killi Music Awards walivyopewa semina


Kutoka kulia Hamisi Dakora, Abdul Kiba na Mchomvu clouds meadia
 
Mwanamuziki wa bendi ya Mapacha Watatu, Khalid Chokora akizungumza wakati wa semina ya wanamuziki walioingia kwenye kinyang'anyiro cha ruzo za muziki Tanzania, maarufu Kilimanjaro Music Award au tuzo za Kili inayoendelea hivi sasa katika hoteli ya Double Tree, Masaki, Dar es Salaam. Kulia ni mwimbaji wa Mapacha, Catherine Cind

Mzee Yussuf wa Jahazi Modern Taarab kushoto
 



Mwanamuziki wa bendi ya Mapacha Watatu, Khalid Chokora akizungumza wakati wa semina ya wanamuziki walioingia kwenye kinyang'anyiro cha ruzo za muziki Tanzania, maarufu Kilimanjaro Music Award au tuzo za Kili inayoendelea hivi sasa katika hoteli ya Double Tree, Masaki, Dar es Salaam. Kulia ni mwimbaji wa Mapacha, Catherine Cindy
 

No comments:

Post a Comment