Wednesday 7 May 2014

MAMBO MAKUU MUHIMU YA KUFANYA KAMA KIJANA



Ktk maisha ni dhahili tunakumbana na changamoto mbalimbali ila mambo muhimu tunayoweza kufanyili kukabiriana na hizo changamoto ktk maisha yetu ya kila siku
        Mambo hayo ni pamoja na haya yafuatayo.
  • KUJITAMBUA. Ktk maisha suala la kujitambua huwa linamhusu mtu mwenyewe .lakini hapa tunataka huyu kijana ambae bado hajajitambua kuwa nafasi ya kujitambua ktk mashai ni muhimu hii inasaidia kwa kiasi kikubwa kufanya mtu kubadilika na kufanya mambo ambayo yatamuingizia kipato ktk jamii na hata familia yake jkwa ujumla.
  • KUJIHESHIMU. Ktk maisha yoyote mtu hawezi kuishi bila kuwa na jamii inayomzunguka na hii ina muwezesha mtu kufanya uwamuzi wa yeye kuwa na heshima na kuishi na watu vizuri hasa wale ambao ankuwanao kwenye jamii inoyomzunguka.Heshimani chanzo kizuri cha maendeleo ktk maisha jiheshimu.  
  • KUPENDA KUJIFUNZA KUTOKA KWA WALIOFANIKIWA/Hii inasaidia sana kijana kuwa na motisha wa kuhakikisha kuwa anakuwa na maendeleo ktk maisha.
  • Kazi kweli kweli wanafunzi hao burudani kwanza masomo baadayektk maisha ya masomo na hata nje ya masomo kunakuwa na marafiki wenye malengo hasi ambao bado hawajajitambua kuwa wao ni akina nani nahii inamuwezesha kijana huyu kufanya vile anavyotaka na mwisho wa siku anajikuta keshaangaka.Kuwa busy na shuhuli zako kama ni masomo soma kwa malengao na utaanikiwa na huku ukimta nguliza MUNGU.
  • HABARI PICHA: VIJANA NA OPARESHENI YA UTAKASO BCICktk kuihakikishia jamii inakuwa na vijana walioelimika ni lazima hawa vijana wapende maendeleo na mabadiliko ktk jamii wanayoishi.
 Di Mateo akiwapa maelekezo vijana wakekupenda kushirikisha mawazo yako kwa wengine bila kuogopa cheo au kipaji alichonacho mtu.Hii itakusaidia ktk kutambua wapi umekosea naw api umeenda vizuri.pia usipende kupoteza muda kwa kufanya mabo ambayo sii ya msingi.
Kwa kuzingati hayo huku ukimuomba Mungu utafanikiwa ktk maisha pi watu watwajifunza kutoka kwako kwacbb umefanikiwa. PICHA ZA WACHEZA SHOO WA KUNDI LA KIBAO KATA WALIVYOINAJISI BIRTHADY ...kujiepusha na makundi ya maovu.

No comments:

Post a Comment